Kamati kuu ya CCM yatangaza majina 3 ya kugombea nafasi ya uspika wa bunge la 11. Hatimaye kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM imetegua kitendawili cha majina ya makada watatu watakaowania kuchaguliwa
Sunday, November 15, 2015
MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA KWA KUKATWA NA MAPANGA
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Busanda, Alphonce Mawazo amefariki dunia kwa kupigwa na watu wasiojulikana leo saa 9 mchana, mkoani Geita. Taarifa zinadai kuwa Mawazo